iqna

IQNA

marekeni
Jinai za Israel
IQNA - Wapiga kura wa Marekani wamehimizwa kuandika "Sitisha Vita Gaza" kwenye kura zao wakati wa kuchagua wagombea wa uchaguzi wa rais wa mwezi Novemba ikiwa ni njia ya kubainisha malalamiko kuhusu jinsi Joe Biden alivyoshughulikia vita vya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Gaza.
Habari ID: 3478238    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/23

Waislamu Marekani
WASHINGTON, DC (IQNA) - Ustahimilivu wa jumuiya ya Waislamu wa Marekani ulionyeshwa wakati umati wa watu waliofurika ulipojitokeza kwa ajili ya karamu ya 29 ya kila mwaka ya Baraza la Mahusiano ya Kiislamu ya Marekani (CAIR) wikendi hii.
Habari ID: 3477787    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/25

Muharram 1445
TEHRAN (IQNA) – Maelfu ya Waislamu wa madhehebu ya Shia waliingia kwenye mitaa ya New York katika maombolezo ya Muharram.
Habari ID: 3477338    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/25

Imam Khamenei
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei Jumatatu alihutubia maelfu ya wananchi wa miji mbalimbali ya mkoa wa Azarbayjan Mashariki waliokwenda kuonana naye akilishukuru taifa la Iran kwa kujitokeza kwa wingi katika maandamano ya tarehe 22 Bahman (Februari 11) ya kuadhimisha miaka 35 ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu hapa nchini.
Habari ID: 1376766    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/02/18