IQNA

Ushirikiano Katika Qur’ani Tukufu /9

Mifano ya “Kushirikiana Katika Uadui na Dhuluma”

IQNA – Qur’ani Tukufu inakataza waziwazi aina yoyote ya ushirikiano katika maovu au uonevu. Katika Surah Al-Ma’idah aya ya 2, Allah anasema: “Wala msisaidiane...

Wimbi la Mashambulio Dhidi ya Misikiti Uingereza Lazua Wasiwasi wa Kuongezeka kwa Chuki Dhidi ya Uislamu

IQNA – Mashambulio dhidi ya misikiti nchini Uingereza yameripotiwa kuongezeka kwa kasi katika miezi ya hivi karibuni, huku ripoti mpya ikihusisha ongezeko...

Al-Azhar yalaani shambulio la bomu katika Msikiti wa Jakarta

IQNA – Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar nchini Misri kimelaani mlipuko wa bomu uliotokea katika msikiti mjini Jakarta, mji mkuu wa Indonesia, wakati wa...

Mtaalamu: Wazazi Wawaongoze Vijana Katika Mitandao ya Kijamii, Wasijaribu Kuwazuia

IQNA – Mtaalamu wa afya ya akili nchini Iran ameonya kwamba matumizi kupita kiasi ya mitandao ya kijamii yanawafanya vijana kujitenga, huku yakibadilisha...
Habari Maalumu
Wawili Wafikishwa Mahakamani kwa Njama ya Kushambulia Msikiti Ireland Kaskazini

Wawili Wafikishwa Mahakamani kwa Njama ya Kushambulia Msikiti Ireland Kaskazini

IQNA-Operesheni ya pamoja ya kukabiliana na ugaidi kati ya Jamhuri ya Ireland na Ireland Kaskazini imefanikiwa kuzuia shambulio lililopangwa dhidi ya msikiti...
08 Nov 2025, 13:33
Ayatullah Aarafi alaani mauaji ya kutisha Sudan, atoa wito hatua kuchukuliwa

Ayatullah Aarafi alaani mauaji ya kutisha Sudan, atoa wito hatua kuchukuliwa

IQNA-Ayatullah Alireza Aarafi, Mkurugenzi wa Vyuo Vikuu vya Kiislamu (Hauzah) nchini Iran ametoa ujumbe mzito wa kulaani mauaji ya kikatili dhidi ya watu...
07 Nov 2025, 18:58
Wanafunzi Waislamu Nchini Uswidi Wabadilisha Shule Ili Kuepuka Ubaguzi wa Rangi

Wanafunzi Waislamu Nchini Uswidi Wabadilisha Shule Ili Kuepuka Ubaguzi wa Rangi

IQNA-Katika ripoti mpya iliyotolewa na taasisi ya utafiti ya Uswidi, imebainika kuwa idadi kubwa ya wanafunzi Waislamu wamekuwa wakihama shule kutokana...
07 Nov 2025, 19:18
Watu Kadhaa Wajeruhiwa Katika Mlupuko Msikitini Shule ya Jakarta, Chanzo Chachunguzwa

Watu Kadhaa Wajeruhiwa Katika Mlupuko Msikitini Shule ya Jakarta, Chanzo Chachunguzwa

IQNA – Takriban watu 54 wamejeruhiwa kufuatia mlipuko uliotokea katika msikiti ulioko ndani ya eneo la shule jijini Jakarta, mji mkuu wa Indonesia, siku...
07 Nov 2025, 19:15
Hati Adimu za Qur’ani Zawasilishwa katika Nyumba ya Sanaa za Kiislamu ya Jeddah

Hati Adimu za Qur’ani Zawasilishwa katika Nyumba ya Sanaa za Kiislamu ya Jeddah

IQNA – Nyumba ya Makumbusho ya Sanaa za Kiislamu mjini Jeddah, maarufu kwa jina la Dar al-Funun al-Islamiyyah, imeandaa maonesho ya hati adimu za Qur’ani...
07 Nov 2025, 18:32
Mkutano wa Istanbul Wasisitiza Kufikiria Upya Nafasi ya Misikiti

Mkutano wa Istanbul Wasisitiza Kufikiria Upya Nafasi ya Misikiti

IQNA – Mkutano wa 4 wa Kimataifa kuhusu Usanifu wa Misikiti wa mwaka 2025 uliofanyika mjini Istanbul, Uturuki, umesisitiza haja ya kufikiria upya nafasi...
07 Nov 2025, 18:24
Usomaji wa Qur'ani wa Karne Kadhaa Waendelea Bila Kukoma Katika Kasri ya Istanbul

Usomaji wa Qur'ani wa Karne Kadhaa Waendelea Bila Kukoma Katika Kasri ya Istanbul

IQNA-Katika kasri maarufu la Topkapi jijini Istanbul, utamaduni wa kale wa Kiislamu wa usomaji wa Qur'ani Tukufu umeendelea bila kukoma kwa karne...
06 Nov 2025, 21:13
Mashindano Makuu ya Qur'ani ya Al-Azhar yameanza kwa ushiriki wa watu 150,000 nchini Misri

Mashindano Makuu ya Qur'ani ya Al-Azhar yameanza kwa ushiriki wa watu 150,000 nchini Misri

IQNA-Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar nchini Misri kimezindua awamu ya kwanza ya mashindano ya kila mwaka ya kuhifadhi Qur'ani Tukufu, maarufu kama...
06 Nov 2025, 20:44
Mwanamke Mpalestina Apambana na Saratani kwa Kuhifadhi Qur’an

Mwanamke Mpalestina Apambana na Saratani kwa Kuhifadhi Qur’an

IQNA – Shorouk Marar ni mwanamke kutoka mji wa Beit Daqo, kaskazini-magharibi mwa al-Quds (Jerusalem) inayokaliwa kwa mabavu, ambaye ana kisa cha azma...
05 Nov 2025, 16:34
Mwanazuoni: Bibi Fatima ni Mfano Hai wa Maana ya Qur’ani ya ‘Kawthar’

Mwanazuoni: Bibi Fatima ni Mfano Hai wa Maana ya Qur’ani ya ‘Kawthar’

IQNA – Mwanazuoni mmoja amesema kuwa Bibi Fatima al-Zahra (AS) ndiye dhihirisho halisi la maana ya “Kawthar” kama ilivyoelezwa katika Qur’ani Tukufu, akimtaja...
05 Nov 2025, 16:13
Qari chipukizi wa Iran aelezea safari yake ya kutambuliwa kitaifa

Qari chipukizi wa Iran aelezea safari yake ya kutambuliwa kitaifa

IQNA – Amirhossein Landarani, kijana mchanga wa Iran anayesoma na kuhifadhi Qur'an, ambaye hivi karibuni alishinda nafasi ya kwanza katika kipengele...
05 Nov 2025, 16:07
Mamdani achaguliwa kwa kishindo kuwa meya wa kwanza Mwislamu wa New York

Mamdani achaguliwa kwa kishindo kuwa meya wa kwanza Mwislamu wa New York

IQNA-Zohran Mamdani mbunge Muislamu amechaguliwa kuwa Meya wa 111 wa jiji la New York, mtu wa kwanza mwenye asili ya Asia Kusini na wa kwanza aliyezaliwa...
05 Nov 2025, 12:09
Wanafunzi Waislamu Marekani wataka uchunguzi baada ya Qur'ani Tukufu kuvunjiwa heshima

Wanafunzi Waislamu Marekani wataka uchunguzi baada ya Qur'ani Tukufu kuvunjiwa heshima

IQNA – Chuo Kikuu cha Houston kilichopo jimbo la Texas, Marekani, kimetangaza kuwa kinachunguza tukio la kuvunjia heshima nakala ya Qur'an Tukufu...
05 Nov 2025, 16:00
Ushirikiano Kwa Msingi wa Qur'ani Kukabiliana na Ukabila
Ushirikiano Katika Qur'ani/ 8

Ushirikiano Kwa Msingi wa Qur'ani Kukabiliana na Ukabila

IQNA-Katika Uislamu, kuna kanuni inayoitwa ta’āwun , yaani kushirikiana katika mambo ya kheri. Waislamu wanapaswa kusaidiana katika mema, lakini wajiepushe...
04 Nov 2025, 21:15
Taasisi ya Kimataifa ya Qur'ani kuundwa

Taasisi ya Kimataifa ya Qur'ani kuundwa

IQNA – Mkuu wa Shirika la Utamaduni na Mahusiano ya Kiislamu na Mahusiano ya Kimataifa amesema kuwa taasisi hiyo inapanga kuanzisha Taasisi ya Kimataifa...
04 Nov 2025, 19:22
Bendera Nyeusi Yainuliwa Juu ya Kaburi la Imam Ridha (AS) Kuashiria Maombolezo ya Bi Fatima Zahra (SA)

Bendera Nyeusi Yainuliwa Juu ya Kaburi la Imam Ridha (AS) Kuashiria Maombolezo ya Bi Fatima Zahra (SA)

IQNA – Katika mji wa Mashhad, bendera ya kijani iliyokuwa juu ya kuba ya kaburi tukufu la Imam Ridha (AS) imeondolewa na kubadilishwa na bendera nyeusi,...
04 Nov 2025, 20:41
Picha‎ - Filamu‎