IQNA

Milad un Nabii

Al-Khalil: Wapalestina washerehekea Maulid ya Mtume (SAW) licha ya pingamizi ya Israel

AL-QUDS (IQNA) - Wapalestina waliadhimisha Maulidi yaani kumbukumbu ya kuzaliwa Mtume Muhammad (SAW) huko Al-Khalil na hasa katikak Msikiti Ibrahim huku...
Waislamu Mauritania

Nakala 300,000 za Qur'an Tukufu zasambazwa nchini Mauritania

NOUAKCHOTT (IQNA) - Mauritania imeanza kusambaza nakala 300,000 za Qur'ani Tukufu katika misikiti ya nchi hiyo.
Wiki ya Umoja wa Kiislamu

Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran asisisitiza ulazima wa kuweko umoja baina ya Waislamu

TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Sala ya Ijumaa jijini Tehran amesisitiza umuhimu wa umoja wa Waislamu huku Waislamu wakiadhimisha 'Wiki ya Umoja wa Kiislamu'...
Ugaidi

Watu wasiopungua 52 wauawa katika hujuma ya kigaidi iliyolenga Zefe ya Maulidi

Takriban watu 52 wameuawa na zaidi ya watu 80 kujeruhiwa katika mlipuko katika jimbo la kusini magharibi la Balochistan nchini Pakistan, kulingana na maafisa...
Habari Maalumu
Wahindu wamuua Mwislamu Mlemavu kwa kula chakula katika hekalu India
Waislamu India

Wahindu wamuua Mwislamu Mlemavu kwa kula chakula katika hekalu India

NEW DELHI (IQNA) - Wahindu wenye msimamo mkali walimpiga na kumuuai Mwislamu mlemavu kwa kula prasad kwenye hekalu.
29 Sep 2023, 18:42
Mkutano wa kimataifa Qatar Kujadili  mienendo ya chuki dhidi ya Uislamu
Chuki dhidi ya Uislamu

Mkutano wa kimataifa Qatar Kujadili mienendo ya chuki dhidi ya Uislamu

DOHA (IQNA) - Qatar itakuwa mwenyeji wa mkutano wa kimataifa wa kujadili kukabiliana na chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia) kwa namna zote na kuchunguza...
28 Sep 2023, 10:25
Qur'ani daima itabaki katika nyoyo Za Waislam,  hafidha wa Qur'ani awaambia wenye chuki
Watetezi wa Qur'ani Tukufu

Qur'ani daima itabaki katika nyoyo Za Waislam, hafidha wa Qur'ani awaambia wenye chuki

AMMAN (IQNA) – Hafidha wa Qur'ani Tukufu kutoka Jordan aliyeshinda Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Dubai kwa wanawake anasema Qur'ani Tukkufu itasalia...
28 Sep 2023, 08:03
Msiba wa Harusi nchini Iraq: Ayatullah Sistani atuma salamu za rambirambi
Maafa

Msiba wa Harusi nchini Iraq: Ayatullah Sistani atuma salamu za rambirambi

BAGHDAD (IQNA) – Mwanazuoni mkuu wa Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Iraq Ayatullah Ali al-Sistani ametoa salamu za rambirambi baada ya mamia ya watu...
28 Sep 2023, 08:22
Askari wa Israel washambulia Wapalestina wakisherehekea Maulid ya Mtume Mohammad (SAW)
Jinai za Israel

Askari wa Israel washambulia Wapalestina wakisherehekea Maulid ya Mtume Mohammad (SAW)

AL-QUDS (IQNA) - Vikosi vya utawala katili wa Israel siku ya Jumatano viliwashambulia Wapalestina, wakiwemo wanawake na watoto, ambao walikuwa wakiadhimisha...
28 Sep 2023, 10:35
Kiongozi wa Ansarullah Yemen aonya kuhusu njama za Wazayuni za kuvuruga umoja wa Waislamu
Umoja wa Waislamu

Kiongozi wa Ansarullah Yemen aonya kuhusu njama za Wazayuni za kuvuruga umoja wa Waislamu

TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa Ansarullah ya Yemen amesema kuwa, Harakati ya Lobi ya Kiyahudi ya Kizayuni duniani pamoja na washirika wake inataka kupenya...
27 Sep 2023, 21:57
Mkutano wa Kimataifa wa Umoja wa Kiislamu Kufanyika Tehran
Umoja wa Kiislamu

Mkutano wa Kimataifa wa Umoja wa Kiislamu Kufanyika Tehran

TEHRAN (IQNA)- Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Madhehebu za Kiislamu wiki hii amezungumza na waandishi habari kuhusu Kongamano la 37 la Umoja...
27 Sep 2023, 18:48
Algeria Inajiandaa Kuadhimisha Maulid ya Mtume Muhammad (SAW)  na Wiki Qur'ani Tukufu
Milad un Nabii

Algeria Inajiandaa Kuadhimisha Maulid ya Mtume Muhammad (SAW) na Wiki Qur'ani Tukufu

ALGIERS (IQNA) - Waziri Wakfu na Masuala Kidini wa Algeria katika kikao na wasimamizi wa wizara hiyo walijadili kufanya sherehe za kuadhimisha kumbukumbu...
26 Sep 2023, 22:12
Usomaji wa Qur'ani Tukufu wa Sheikh Shuaisha unatoka ndani ya nafsi yake
Wasomaji bingwa wa Qur'ani Tukufu

Usomaji wa Qur'ani Tukufu wa Sheikh Shuaisha unatoka ndani ya nafsi yake

CAIRO (IQNA) – Visomo vya Qur’ani vya msomaji maarufu wa Misri Sheikh Sheikh Abul Ainain Shuaisha vilitoka kwenye kina cha nafsi yake na ndio maana viligusa...
26 Sep 2023, 22:04
Ripoti  yafichua matamshi ya chuki dhidi ya  Waislamu nchini India
Waislamu India

Ripoti yafichua matamshi ya chuki dhidi ya Waislamu nchini India

NEW DELHI (IQNA) - Zaidi ya mikusanyiko 250 dhidi ya Waislamu ilifanyika katika majimbo 17 ya India katika nusu ya kwanza ya mwaka huu wa 2023, kulingana...
26 Sep 2023, 21:56
'Waache Watoto Wetu': Waislamu wamlaani Waziri Mkuu wa Kanada kwa matamshi yanayoibua mgawanyinyiko
Waislamu Kanada

'Waache Watoto Wetu': Waislamu wamlaani Waziri Mkuu wa Kanada kwa matamshi yanayoibua mgawanyinyiko

OTTAWA (IQNA) – Shirika moja la Kiislamu nchini Kanada (Canada) limelaani matamshi ya "uchochezi" na "mgawanyiko" yaliyotolewa na wanasiasa wa Kanada,...
26 Sep 2023, 21:43
Uswidi: Msikiti waharibiwa vibaya katika hujuma ya uchomaji moto
Chuki dhidi ya Uislamu

Uswidi: Msikiti waharibiwa vibaya katika hujuma ya uchomaji moto

STOCKHOLM (IQNA) - Msikiti mmoja kusini mashariki mwa Uswidi umeharibiwa vibaya kufuatia shambulio la uchomaji moto.
26 Sep 2023, 21:26
‘Matembezi ya Mahaba kwa Mtukufu Mtume’ yafanyika nchini Thailand
Milad-un-Nabii (Maulid ya Mtume Muhammad-SAW-)

‘Matembezi ya Mahaba kwa Mtukufu Mtume’ yafanyika nchini Thailand

BANGKOK (IQNA) - Waislamu katika Pattani, mji ulioko kusini mwa Thailand, walifanya "Matembezi ya Mahaba kwa Mtukufu Mtume Muhammad (SAW)" siku ya Jumapili.
25 Sep 2023, 21:07
Misikiti nchini Australia kuwakaribisha wasio Waislamu katika 'Siku ya Wazi'
Waislamu Australia

Misikiti nchini Australia kuwakaribisha wasio Waislamu katika 'Siku ya Wazi'

TEHRAN (IQNA) – Siku ya kumi ya Kitaifa ya Ufunguzi wa Msikiti (NMOD) itafanyika Jumamosi tarehe 28 Oktoba, tukio ambalo linawaalika Waaustralia wasiokuwa...
25 Sep 2023, 21:22
Kampeni Imezinduliwa ya kutangaza nyama 'Halal' nchini Uingereza
Sekta ya Halal

Kampeni Imezinduliwa ya kutangaza nyama 'Halal' nchini Uingereza

LONDON (IQNA) - Kampeni ya kupigia debe nyama ya 'Halal', yaani iliyochinjwa kwa mujibu wa mafundisho ya Kiislamu, nchini Uingereza imezinduliwa.
25 Sep 2023, 20:05
Nchi za Kiislamu zalaani kuvunjiwa heshima tena Qur’ani Tukufu nchini Uholanzi
Watetezi wa Qur'ani Tukufu

Nchi za Kiislamu zalaani kuvunjiwa heshima tena Qur’ani Tukufu nchini Uholanzi

TEHRAN (IQNA)- Kitendo cha kuvunjiwa heshima tena kitabu kitakatifu cha Qur’ani huko nchini Uholanzi kimekabiliwa na malalamiko na laana za Baraza la Ushirikiano...
25 Sep 2023, 19:19
Picha‎ - Filamu‎