Habari Maalumu
Taarifa ya Kikao cha Doha
IQNA – Viongozi wa nchi za Kiarabu na Kiislamu wamelaani vikali mashambulizi ya anga yaliyofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya mji mkuu wa...
16 Sep 2025, 12:06
Katika Kikao Nchi za Kiislamu Doha
IQNA-Katika kilele cha dharura cha nchi za Kiarabu na Kiislamu kilichofanyika jijini Doha, Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, alitoa onyo kali kuhusu mashambulizi...
15 Sep 2025, 22:46
IQNA – Maelfu ya hati kutoka kwa mamia ya waandishi kuhusu elimu ya Qur’ani, hisabati, unajimu, na nyota zinapatikana katika hazina ya Timbuktu, ambayo...
15 Sep 2025, 18:35
IQNA – Toleo la tatu la Mkutano wa Kimataifa wa “Mtume Mkuu (SAW)” ulianza Jumamosi katika mji mkuu wa Yemen, Sana’a.
15 Sep 2025, 18:23
IQNA – Hujjatul-Islam Ali Abbasi, mjumbe wa Baraza la Wanazuoni Wataalamu nchini Iran, amesema kuwa madola ya kikoloni ya Magharibi yaliendeleza sera...
15 Sep 2025, 18:14
IQNA – Kundi la wanawake Waislamu wanaojihusisha na harakati za kidini nchini Belarus limezindua mradi wa kipekee wa kueneza ujumbe wa Qur'an uitwao “Katika...
15 Sep 2025, 18:04
IQNA – Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, amezitaka nchi za Kiislamu kukata kabisa uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel, kabla ya mkutano wa dharura...
15 Sep 2025, 12:58
IQNA – Katibu wa Baraza Kuu la Mapinduzi ya Kiutamaduni la Iran amesema kuwa umoja wa Waislamu ni muhimu si tu kwa ajili ya kujilinda, bali pia kwa ajili...
14 Sep 2025, 14:40
Mawaidha
IQNA – Msomo mmoja wa Kiislamu kutoka Iran amesisitiza kuwa mfano wa Mtume Muhammad (SAW) katika uvumilivu, msamaha na uongozi wa kuunganisha jamii ni...
14 Sep 2025, 14:15
IQNA – Misikiti kote Uskochi au Scotland nchini Uingereza imeongeza kwa kiwango kikubwa hatua za kiusalama, ikiwemo kuajiri walinzi binafsi na kuweka ulinzi...
14 Sep 2025, 13:35
IQNA – Al-Baraa ni mtoto wa Kipalestina mwenye umri wa miaka 12 ambaye, licha ya vita na mashambulizi ya mabomu ya utawala katili wa Israel dhidi katika...
14 Sep 2025, 13:21
Mtazamo
IQNA – Shambulizi la hivi karibuni la utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Qatar limethibitisha usahihi wa sera za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa kipindi...
14 Sep 2025, 13:13
IQNA-Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (UNGA) limepitisha kwa wingi mkubwa sana wa kura "Azimio la New York" linalotoa mwongozo wa kuchukuliwa "hatua zinazoonekana,...
13 Sep 2025, 16:19
IQNA – Kitendo cha kuvunjwa kwa madirisha ya Msikiti wa Taunton, nchini Uingereza, kimezua hasira na huzuni miongoni mwa wanajamii wa eneo hilo, huku polisi...
13 Sep 2025, 16:08
IQNA – Mtume Muhammad (SAW), kipenzi cha Umma wa Kiislamu, alitoa mwongozo wa wazi kwa ajili ya kukuza roho na imani ya Waislamu kwa kusisitiza umuhimu...
13 Sep 2025, 15:55
IQNA – Wizara ya Mambo ya Kidini na Wakfu ya Algeria imetangaza kuwa shughuli za Wiki ya 27 ya Kitaifa ya Qur’ani zitaanza Jumatatu, Septemba 15, katika...
13 Sep 2025, 15:46