IQNA

Ayatullah Khamenei: Jamhuri ya Iran ya Kiislamu ni mbeba bendera ya mfumo wa kiadilifu wa Kiislamu ulimwenguni

IQNA- Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, amesema kuwa, Jamhuri ya Iran ya Kiislamu ni mbeba bendera ya kukabiliana mfumo...

Kipindi cha Qur'ani cha “Dawlat al-Tilawa” Misri katika hatua ya Mwisho

IQNA – Kipindi cha 13 cha shindano la vipaji vya Qur’ani Tukufu nchini Misri maarufu Dawlat al-Tilawa kilirushwa hewani wiki hii, kikiashiria kuanza kwa...

Mahitaji ya Tafsiri za Qur’ani kwa Kiswidi yaongezeka baada ya tukio la kuvunjia heshima nakala ya Qur’ani

IQNA – Baada ya tukio la kuvunjia heshima nakala ya Qur’ani Tukufu mbele ya Msikiti Mkuu wa Stockholm, mahitaji ya kununua tarjuma au tafsiri za Qur’ani...

Wanafunzi Wasomea Qur’ani kwa Sauti ya Pamoja Katika Msikiti Mkuu wa Algiers

IQNA – Kundi la wanafunzi Waalgeria wanaoishi nje ya nchi walisoma kwa pamoja aya za Surah Al-Kahf katika Msikiti Mkuu wa Algiers.
Habari Maalumu
Bendera ya “Ali Aliyezaliwa Ndani ya Kaaba” kupandishwa juu ya Kuba ya Haram ya Imam Ali (AS)

Bendera ya “Ali Aliyezaliwa Ndani ya Kaaba” kupandishwa juu ya Kuba ya Haram ya Imam Ali (AS)

IQNA – Uwanja wa Haram Tukufu ya Imam Ali (AS) mjini Najaf, Iraq, leo tarehe 28 Disemba 2025 umeshuhudia hafla ya kupandisha bendera maalum.
28 Dec 2025, 15:44
2025: Mwaka ulioshuhudia kushadidi chuku dhidi ya Waislamu wa India

2025: Mwaka ulioshuhudia kushadidi chuku dhidi ya Waislamu wa India

IQNA – Kuanzia unyanyasaji wa mtandaoni hadi mashambulizi ya umati na sera za kibaguzi, mwaka 2025 uliweka bayana hali ya kutisha kwa Waislamu walio wachache...
28 Dec 2025, 15:34
Tabia ya Watu wa Peponi Duniani
Istighfar katika Qur’an Tukufu / 7

Tabia ya Watu wa Peponi Duniani

IQNA – Katika aya za Qur’ani Tukufu, Istighfar (kuomba msamaha wa Mwenyezi Mungu) imeelezwa kuwa miongoni mwa masharti ya kuingia Peponi na pia ni ada...
27 Dec 2025, 20:06
Nakala ya Qur’ani iIliyoandikwa kwa mkono na mkaligrafia mashuhuri yakabidhiwa ISESCO

Nakala ya Qur’ani iIliyoandikwa kwa mkono na mkaligrafia mashuhuri yakabidhiwa ISESCO

IQNA – Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Ulimwengu wa Kiislamu (ISESCO) limepokea nakala adimu ya Qur’ani Tukufu iliyoandikwa kwa mkono wa Abu...
27 Dec 2025, 19:49
Sherehe katika kambi ya wakimbizi Gaza kuwaenzi wahifadhi Qur’ani 500

Sherehe katika kambi ya wakimbizi Gaza kuwaenzi wahifadhi Qur’ani 500

IQNA – Sherehe imefanyika katika Kambi ya Wakimbizi ya Al-Shati, magharibi mwa Gaza, kuadhimisha wanaume na wanawake 500 waliokamilisha kuhifadhi Qur’ani...
27 Dec 2025, 19:33
Watoto Waislamu wa Brazil Waanza Kozi ya Kuhifadhi Qur’ani huko Sao Paulo

Watoto Waislamu wa Brazil Waanza Kozi ya Kuhifadhi Qur’ani huko Sao Paulo

IQNA – Kituo cha Kiislamu cha Vila Cajon kilichoko Sao Paulo, mji mkuu wa kiuchumi wa Brazil, kimeandaa kozi ya kuhifadhi Qur’ani Tukufu kwa watoto.
27 Dec 2025, 19:14
Washiriki 170 katika hatua ya kwanza ya Mashindano ya Qur’an Tukufu Oman

Washiriki 170 katika hatua ya kwanza ya Mashindano ya Qur’an Tukufu Oman

IQNA – Takriban washiriki 170 wameingia katika hatua ya mwanzo ya mashindano ya kitaifa ya kuhifadhi Qur’an Tukufu nchini Oman.
27 Dec 2025, 18:49
Nabii Isa (Yesu) alizaliwa Iraq, siyo Bethlehem, asema mwanazuoni wa Kiiraqi
Mtazamo

Nabii Isa (Yesu) alizaliwa Iraq, siyo Bethlehem, asema mwanazuoni wa Kiiraqi

IQNA – Mwanazuoni wa Kiislamu wa madhehebu ya Shia kutoka Iraq anaamini kuwa tafiti mpya juu ya asili ya jina Buratha (mwana wa maajabu) na mawe ya ajabu...
26 Dec 2025, 22:22
Takriban watu 6 wameuawa katika hujuma kigaidi dhidi ya Msikiti wa Imam Ali wakati wa Sala ya Ijumaa Syria

Takriban watu 6 wameuawa katika hujuma kigaidi dhidi ya Msikiti wa Imam Ali wakati wa Sala ya Ijumaa Syria

Shambulio la kigaidi limewalenga waumini waliokuwa katika ibada ya Sala leo Ijumaa katika msikiti wa Imam Ali bin Abi Talib (AS) katika kitongoji cha Wadi...
26 Dec 2025, 22:41
UN yalaani hujuma ya kigaidi iliyoua  waumini msikitini Nigeria

UN yalaani hujuma ya kigaidi iliyoua waumini msikitini Nigeria

IQNA-Umoja wa Mataifa umelaani vikali shambulio la kigaidi lililotokea kwenye msikiti ulioko katika Soko la Gamboru, mjini Maiduguri, katika Jimbo la Borno...
26 Dec 2025, 19:26
Salamu za Krismasi za Rais wa Iran kwa Papa Leo wa Kanisa Katoliki

Salamu za Krismasi za Rais wa Iran kwa Papa Leo wa Kanisa Katoliki

IQNA-Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametuma salamu kwa Papa Leo wa XIV, kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, akimpongeza kwa mnasaba...
25 Dec 2025, 16:34
Mwandishi Mkristo: Kuendeleza maadili na upendo ni ujumbe wa Utume wa Isa na Muhammad (Amani Iwe Juu Yao)

Mwandishi Mkristo: Kuendeleza maadili na upendo ni ujumbe wa Utume wa Isa na Muhammad (Amani Iwe Juu Yao)

IQNA – Mwanafikra na msanii Mkristo kutoka Lebanon amesema Nabii Isa na Mtume Muhammad (rehema na amani ziwashukie) waliona jukumu lao kuwa ni kusimamisha...
25 Dec 2025, 16:52
Wachezaji wa Timu ya Taifa ya Misri Wasoma Qur’ani kwa Sauti ya Pamoja + Video

Wachezaji wa Timu ya Taifa ya Misri Wasoma Qur’ani kwa Sauti ya Pamoja + Video

IQNA – Wachezaji wa timu ya taifa ya kandanda ya Misri wamesoma aya za Qur’ani Tukufu kwa sauti ya pamoja kabla ya mechi dhidi ya Zimbabwe katika michuano...
25 Dec 2025, 12:44
Ujumbe wa Krismasi na Amani Kutoka kwa Mkuu wa ICRO

Ujumbe wa Krismasi na Amani Kutoka kwa Mkuu wa ICRO

IQNA – Katika ujumbe wake kwa viongozi na wafuasi wa Kanisa Katoliki, Mkuu wa Shirika la Iran la Utamaduni na Mahusiano ya Kiislamu (ICRO), Hujjatul-Islam...
25 Dec 2025, 12:04
Kile kilichomchochea mwandishi wa Libya kuandika Ensaiklopidia ya Hadithi za Qur’ani

Kile kilichomchochea mwandishi wa Libya kuandika Ensaiklopidia ya Hadithi za Qur’ani

IQNA- Dr. Ali Muhammad Al-Salabi, mwandishi na mtafiti wa Libya, ndiye aliyeandika Ensaiklopidia ya Hadithi za Manabii katika Qur’anI Tukufu.
24 Dec 2025, 20:23
Mashindano ya Qur’ani kufanyika kwa kumbukumbu ya dada watatu Wamisri

Mashindano ya Qur’ani kufanyika kwa kumbukumbu ya dada watatu Wamisri

IQNA-Mashindano ya kuhifadhi na kusoma Qur’ani yatafanyika katika jimbo la Menoufia, Misri, kwa kumbukumbu ya dada watatu wadogo wa Kimasri waliopoteza...
24 Dec 2025, 20:17
Picha‎ - Filamu‎