Habari Maalumu
Waislamu India
NEW DELHI (IQNA) - Wahindu wenye msimamo mkali walimpiga na kumuuai Mwislamu mlemavu kwa kula prasad kwenye hekalu.
29 Sep 2023, 18:42
Chuki dhidi ya Uislamu
DOHA (IQNA) - Qatar itakuwa mwenyeji wa mkutano wa kimataifa wa kujadili kukabiliana na chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia) kwa namna zote na kuchunguza...
28 Sep 2023, 10:25
Watetezi wa Qur'ani Tukufu
AMMAN (IQNA) – Hafidha wa Qur'ani Tukufu kutoka Jordan aliyeshinda Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Dubai kwa wanawake anasema Qur'ani Tukkufu itasalia...
28 Sep 2023, 08:03
Maafa
BAGHDAD (IQNA) – Mwanazuoni mkuu wa Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Iraq Ayatullah Ali al-Sistani ametoa salamu za rambirambi baada ya mamia ya watu...
28 Sep 2023, 08:22
Jinai za Israel
AL-QUDS (IQNA) - Vikosi vya utawala katili wa Israel siku ya Jumatano viliwashambulia Wapalestina, wakiwemo wanawake na watoto, ambao walikuwa wakiadhimisha...
28 Sep 2023, 10:35
Umoja wa Waislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa Ansarullah ya Yemen amesema kuwa, Harakati ya Lobi ya Kiyahudi ya Kizayuni duniani pamoja na washirika wake inataka kupenya...
27 Sep 2023, 21:57
Umoja wa Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Madhehebu za Kiislamu wiki hii amezungumza na waandishi habari kuhusu Kongamano la 37 la Umoja...
27 Sep 2023, 18:48
Milad un Nabii
ALGIERS (IQNA) - Waziri Wakfu na Masuala Kidini wa Algeria katika kikao na wasimamizi wa wizara hiyo walijadili kufanya sherehe za kuadhimisha kumbukumbu...
26 Sep 2023, 22:12
Wasomaji bingwa wa Qur'ani Tukufu
CAIRO (IQNA) – Visomo vya Qur’ani vya msomaji maarufu wa Misri Sheikh Sheikh Abul Ainain Shuaisha vilitoka kwenye kina cha nafsi yake na ndio maana viligusa...
26 Sep 2023, 22:04
Waislamu India
NEW DELHI (IQNA) - Zaidi ya mikusanyiko 250 dhidi ya Waislamu ilifanyika katika majimbo 17 ya India katika nusu ya kwanza ya mwaka huu wa 2023, kulingana...
26 Sep 2023, 21:56
Waislamu Kanada
OTTAWA (IQNA) – Shirika moja la Kiislamu nchini Kanada (Canada) limelaani matamshi ya "uchochezi" na "mgawanyiko" yaliyotolewa na wanasiasa wa Kanada,...
26 Sep 2023, 21:43
Chuki dhidi ya Uislamu
STOCKHOLM (IQNA) - Msikiti mmoja kusini mashariki mwa Uswidi umeharibiwa vibaya kufuatia shambulio la uchomaji moto.
26 Sep 2023, 21:26
Milad-un-Nabii (Maulid ya Mtume Muhammad-SAW-)
BANGKOK (IQNA) - Waislamu katika Pattani, mji ulioko kusini mwa Thailand, walifanya "Matembezi ya Mahaba kwa Mtukufu Mtume Muhammad (SAW)" siku ya Jumapili.
25 Sep 2023, 21:07
Waislamu Australia
TEHRAN (IQNA) – Siku ya kumi ya Kitaifa ya Ufunguzi wa Msikiti (NMOD) itafanyika Jumamosi tarehe 28 Oktoba, tukio ambalo linawaalika Waaustralia wasiokuwa...
25 Sep 2023, 21:22
Sekta ya Halal
LONDON (IQNA) - Kampeni ya kupigia debe nyama ya 'Halal', yaani iliyochinjwa kwa mujibu wa mafundisho ya Kiislamu, nchini Uingereza imezinduliwa.
25 Sep 2023, 20:05
Watetezi wa Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA)- Kitendo cha kuvunjiwa heshima tena kitabu kitakatifu cha Qur’ani huko nchini Uholanzi kimekabiliwa na malalamiko na laana za Baraza la Ushirikiano...
25 Sep 2023, 19:19