IQNA

Mshiriki wa Palestina Katika Mashindano ya MTHQA Asema Alihifadhi Qur’ani asimulia kuhusu wazazi wake

IQNA – Jenan Nabil Mohammed Nofal ni hafidha wa Qur’ani Tukufu anayewakilisha Palestina katika Mashindano ya 65 ya Kimataifa ya Usomaji na Uhifadhi wa...

Masharti ya Trump ya ‘Israel Kwanza’ kwa Misaada ya Maafa ni Shambulio Dhidi ya Uhuru wa Maoni na Haki za Binadamu – CAIR

IQNA – Shirika moja la utetezi wa haki limeshutumu agizo jipya kutoka kwa serikali ya Trump linalozuia utoaji wa misaada ya majanga kwa majimbo na miji...

Benki ya Kiislamu Kushirikiana na Al-Azhar Kuandaa Mashindano ya Qur'ani

IQNA – Mashindano ya tatu ya kila mwaka ya kuhifadhi Qur’ani yanayoandaliwa na Msikiti Mkuu wa Al-Azhar nchini Misri yatafanyika kwa ushirikiano na benki...

Mtihani wa Kuwachagua Washiriki wa Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani Kufanyika Yemen

IQNA – Wizara ya Wakfu na Mwongozo ya Yemen imetangaza kuwa itafanya mtihani maalum kwa ajili ya kuwachagua wawakilishi wa nchi hiyo watakaoshiriki katika...
Habari Maalumu
Kundi la Kwanza la Wasomaji wa Msafara wa Qur'ani kutoka Iran Waanza Shughuli Zao Najaf

Kundi la Kwanza la Wasomaji wa Msafara wa Qur'ani kutoka Iran Waanza Shughuli Zao Najaf

IQNA – Kundi la kwanza la wahudumu wa Qur'ani kutoka Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, walioko katika Msafara wa Qur'ani wa Arbaeen, wamewasili Iraq mapema...
06 Aug 2025, 23:38
Israel yalaaniwa vikali kwa kuwafisha njaa na kuwachinja Wapalestina wanaotafuta chakula

Israel yalaaniwa vikali kwa kuwafisha njaa na kuwachinja Wapalestina wanaotafuta chakula

IQNA – Shirika la kutetea haki za Waislamu nchini Marekani limelaani vikali vifo vya raia wa Gaza vinavyosababishwa na njaa inayosababishwa kimakusudi...
06 Aug 2025, 00:26
Malaysia yaongeza juhudi za kukuza maadili ya Qur’an katika masha ya kila siku

Malaysia yaongeza juhudi za kukuza maadili ya Qur’an katika masha ya kila siku

IQNA – Malaysia imezidisha juhudi za kuitangaza Qur'an Tukufu kama mwongozo wa maisha yenye maadili, kwa lengo la kulea kizazi chenye msingi imara wa tabia...
06 Aug 2025, 00:04
Qari wa Iran Asoma Qur'ani katika Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Malaysia

Qari wa Iran Asoma Qur'ani katika Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Malaysia

IQNA – Mohsen Qassemi, aliyeteuliwa kuiwakilisha Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani nchini Malaysia, alitoa qiraa’ yake...
05 Aug 2025, 23:40
Mikakati ya kusoma Qur'an kwa Njia ya Kidijitali Yazinduliwa Kimataifa Makkah

Mikakati ya kusoma Qur'an kwa Njia ya Kidijitali Yazinduliwa Kimataifa Makkah

IQNA – Mfululizo wa miradi ya kipekee ya Qur'an Tukufu imezinduliwa huko Makkah kwa lengo la kuihudumia Kitabu Kitukufu cha Mwenyezi Mungu.
05 Aug 2025, 23:57
Maafisa wasema Iraq iko tayari kwa matembezi ya Arbaeen

Maafisa wasema Iraq iko tayari kwa matembezi ya Arbaeen

IQNA – Mamlaka za Iraq zimezindua maandalizi makubwa ya huduma na usalama, huku mamilioni ya wafanyaziara wakitarajiwa kuelekea Karbala kwa ajili ya matembezi...
04 Aug 2025, 19:26
Ofisi ya Ayatullah Sistani yapiga marfuku matumizi ya picha yake katika maeneo ya Umma

Ofisi ya Ayatullah Sistani yapiga marfuku matumizi ya picha yake katika maeneo ya Umma

IQNA – Ofisi ya kiongozi mkuu wa Kishia nchini Iraq, Ayatullah Ali al-Sistani, imetoa tamko la kuzuia taasisi za kisiasa na za huduma kutumia picha yake...
04 Aug 2025, 19:09
Mufti Mkuu wa India apongeza uamuzi wa mataifa kutambua Palestina

Mufti Mkuu wa India apongeza uamuzi wa mataifa kutambua Palestina

IQNA – Mufti Mkuu wa India, Sheikh Abubakr Ahmad, amepongeza uamuzi wa baadhi ya mataifa kutambua rasmi nchi huru ya Palestina.
04 Aug 2025, 18:50
Msomi Iran asifu  msimamo wa Waislamu vita vya Israel dhidi ya Iran, atoa wito wa umoja kuelekea Arbaeen

Msomi Iran asifu msimamo wa Waislamu vita vya Israel dhidi ya Iran, atoa wito wa umoja kuelekea Arbaeen

IQNA – Mkurugenzi wa Msafara wa Hijja wa Iran ameifu mshikamano wa kimataifa uliodhihirika wakati wa vita vya siku kumi na mbili vilivyoanzishwa na utawala...
04 Aug 2025, 18:44
Mashindano ya 65 ya Kimataifa ya Usomaji na Kuhifadhi Qur’ani Malaysia Yafunguliwa

Mashindano ya 65 ya Kimataifa ya Usomaji na Kuhifadhi Qur’ani Malaysia Yafunguliwa

IQNA – Mashindano ya 65 ya Kimataifa ya Usomaji na Kuhifadhi Qur’ani Tukufu (MTHQA) yamefunguliwa rasmi katika mji mkuu wa Malaysia, Kuala Lumpur, siku...
03 Aug 2025, 17:43
Mikakati yawekwa kuhudumia Wafanyaziara  wa kike katika Haram ya Najaf wakati wa Arbaeen

Mikakati yawekwa kuhudumia Wafanyaziara wa kike katika Haram ya Najaf wakati wa Arbaeen

IQNA – Idara ya Masuala ya Wanawake ya Taasisi ya Haram Tukufu ya Imam Ali (AS) imeandaa mipango kabambe ya kuwahudumia wafanyaziyara wa kike katika msimu...
02 Aug 2025, 07:55
Misikiti ya Misri yaandaa mihadhara kuhusu ‘Familia Katika Sira ya Mtume Muhammad (SAW)’

Misikiti ya Misri yaandaa mihadhara kuhusu ‘Familia Katika Sira ya Mtume Muhammad (SAW)’

IQNA –Mihadhara kuhusu “Nafasi na Umuhimu wa Familia katika Sira ya Mtume Mtukufu Muhammad (SAW)” imefanyika katika misikiti mbalimbali nchini Misri.
02 Aug 2025, 07:47
Shule ya Qur'ani ya Novi Pazar: Kituo cha Kufufua Utambulisho wa Kiislamu nchini Serbia

Shule ya Qur'ani ya Novi Pazar: Kituo cha Kufufua Utambulisho wa Kiislamu nchini Serbia

IQNA – Shule ya Qur'ani ya Novi Pazar nchini Serbia ni miongoni mwa vituo muhimu zaidi vya elimu ya Qur'ani katika eneo la Balkan, ikijitahidi kufufua...
02 Aug 2025, 07:39
Mahakama ya Uholanzi yasema upelelezi kuhusu Msikiti wa Veenendaal ulikiuka haki za Waislamu

Mahakama ya Uholanzi yasema upelelezi kuhusu Msikiti wa Veenendaal ulikiuka haki za Waislamu

IQNA – Mahakama moja nchini Uholanzi imebaini kuwa halmashauri ya jiji la Veenendaal ilifanya upelelezi kinyume cha sheria dhidi ya taasisi ya Kiislamu...
02 Aug 2025, 07:43
Washindi wa Mashindano ya Qur’anI ya Mkoa wa Tehran waenziwa

Washindi wa Mashindano ya Qur’anI ya Mkoa wa Tehran waenziwa

IQNA – Washindi wa upande wa wanaume katika awamu ya kimkoa ya Mashindano ya 48 ya Kitaifa ya Qur’ani Tukufu nchini Iran, yaliyofanyika Tehran, wametangazwa...
01 Aug 2025, 14:45
Qatar yazindua programu ya ya Maendeleo ya Vijana Kupitia Qur’ani

Qatar yazindua programu ya ya Maendeleo ya Vijana Kupitia Qur’ani

IQNA – Wizara ya Awqaf na Masuala ya Kiislamu nchini Qatar inaendesha darasa maalum la kiangazi la Qur’ani Tukufu kwa lengo la kuimarisha uwezo wa kuhifadhi...
01 Aug 2025, 14:41
Picha‎ - Filamu‎