TEHRAN (IQNA)- Mahujaji kutoka maeneo yote ya dunia wanaendelea kuwasili katika nchini Saudi Arabia kwa ajili ya Ibada ya Hija baada ya Mahujaji nje ya Saudia kushindwa kutekeleza ibada hiyo kwa muda wa miaka miwili kutokana na janga la corona. Mwaka huu idadi ya Mahujaji inatazamiwa kufika milioni moja.
SHIRAZ (IQNA)- Mohammad Reza Shabeeh ni msanii mashuhuri wa Iran katika uga wa kuandika matini za Kiisalmu katika mawe na karakana yake iko katika mji wa Shiraz, mkoani Fars kusini mwa Iran.
TEHRAN (IQNA)- Msikiti wa Watu wa Yemen au Masjid al-Shaab ni msikiti mkubwa zaidi nchini Yemen. Msikiti huo ulio katika mji mkuu, Sana’a, ulifunguliwa mwaka 2008 na una ukubwa wa mita mraba 28,000 na una uwezo wa kubeba waumini 44,000.