IQNA

Serikali ya Malaysia Kuongeza Fedha kwa Ajili ya Tafsiri za Qur’ani za Taasisi ya Restu

Serikali ya Malaysia Kuongeza Fedha kwa Ajili ya Tafsiri za Qur’ani za Taasisi ya Restu

IQNA – Waziri Mkuu wa Malaysia amesema kuwa serikali yake itatenga ufadhili wa ziada kwa Yayasan Restu ili kuwezesha tafsiri ya Qur’ani Tukufu katika lugha nyengine 30, na hivyo kupanua zaidi upeo wa ujumbe wake wa ulimwengu.
20:25 , 2025 Aug 09
Vitisho  vya kuwaua Waislamu Sydney baada ya mpanga wa kuadhini mwara moja kwa wiki

Vitisho vya kuwaua Waislamu Sydney baada ya mpanga wa kuadhini mwara moja kwa wiki

IQNA – Viongozi wa moja ya misikiti mikubwa zaidi nchini Australia wamesema wamepokea vitisho vya kuuwawa baada ya kutangazwa mpango wa kuweka vipaza sauti vipya kwa ajili ya adhana.
20:16 , 2025 Aug 09
Maoni ya Mufti Mkuu wa Misri kuhusu matumizi ya Akili Mnemba (AI)  katika kutoa Fatwa

Maoni ya Mufti Mkuu wa Misri kuhusu matumizi ya Akili Mnemba (AI) katika kutoa Fatwa

IQNA – Mufti Mkuu wa Misri amesema kuwa akili mnemba (Artificial Intelligence – AI) haina mamlaka ya kutoa maamuzi ya Kiislamu au fatwa.
20:10 , 2025 Aug 09
Wafanyaziyara zaidi ya milioni 3 wa kimataifa wameingia Iraq kwa ajili ya Arbaeen hadi sasa

Wafanyaziyara zaidi ya milioni 3 wa kimataifa wameingia Iraq kwa ajili ya Arbaeen hadi sasa

IQNA – Zaidi ya wafanyaziyara milioni tatu kutoka mataifa ya kigeni tayari wameingia Iraq kushiriki katika matembezi ya kila mwaka ya Arubaini, Waziri wa Mambo ya Ndani wa nchi hiyo amesema.
20:03 , 2025 Aug 09
Majaji wapongeza kiwango kinachopanda katika Mashindano ya Qur'ani Malaysia

Majaji wapongeza kiwango kinachopanda katika Mashindano ya Qur'ani Malaysia

IQNA – Mashindano ya 65 ya Kimataifa ya Qur’ani ya Malaysia (MTHQA), yameimarika kwa mtazamo wa viwango ambapo majaji wamepongeza mahadhi na uhifadhi ulio bora zaidi.
19:43 , 2025 Aug 09
Tuzo ya Qur’ani ya Dubai 2026 Yaingia Hatua Inayofuata na Wasomaji 525 Bora

Tuzo ya Qur’ani ya Dubai 2026 Yaingia Hatua Inayofuata na Wasomaji 525 Bora

IQNA – Tuzo ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Dubai imetangaza matokeo ya mchujo wa awali, ambapo washiriki 525 wamechaguliwa kuendelea katika toleo la 28 la mashindano hayo.
00:29 , 2025 Aug 09
Iraq yazina njama ya hujuma ya kigaidi ya Daesh dhidi ya wafanyaziyara wa Arbaeen

Iraq yazina njama ya hujuma ya kigaidi ya Daesh dhidi ya wafanyaziyara wa Arbaeen

IQNA – Gavana wa mkoa wa Karbala, Iraq, ametangaza kufanikiwa kuvuruga njama ya kigaidi iliyolenga wafanyaziyara wa Arbaeen katika eneo lake.
00:25 , 2025 Aug 09
Nchi 128 Kushiriki Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Makkah

Nchi 128 Kushiriki Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Makkah

IQNA – Msikiti Mtakatifu jijini Makkah unatarajiwa kuanza kuandaa mashindano ya kimataifa ya Qur’ani kuanzia Jumamosi.
00:19 , 2025 Aug 09
Afisa wa Malaysia: Qur’ani Lazima Iongoze Sera, Elimu na Uchumi

Afisa wa Malaysia: Qur’ani Lazima Iongoze Sera, Elimu na Uchumi

IQNA – Katika ufunguzi wa Kongamano la Dunia la Qur’ani 2025 jijini Kuala Lumpur, Malaysia, wito umetolewa wa kuifanya Qur’ani kuwa mwongozo wa kina katika utungaji sera, elimu, na mikakati ya kiuchumi na isiwe ni ya usomaji na kuhifadhi pekee.
00:15 , 2025 Aug 09
Misafara ya Qur’ani kutoka Iran katika Matembezi ya Arbaeen Kutambulisha Sifa za Qur’ani za Imam Hussein (AS)

Misafara ya Qur’ani kutoka Iran katika Matembezi ya Arbaeen Kutambulisha Sifa za Qur’ani za Imam Hussein (AS)

IQNA – Mwanaharakati mkongwe wa Qur’ani amesisitiza umuhimu wa msafara wa Qur’ani wa Arbaeen kutoka Iran katika kueneza na kutambulisha sura ya Qur’ani ya Imam Hussein (AS).
00:09 , 2025 Aug 09
Wizara ya Mambo ya Ndani Iraq kutumia uwezo wake wote  wakati wa Arbaeen

Wizara ya Mambo ya Ndani Iraq kutumia uwezo wake wote wakati wa Arbaeen

IQNA – Waziri wa Mambo ya Ndani wa Iraq amesisitiza juhudi za kila upande zinazofanywa na wizara yake ili kuwatumikia wafanyaziyara wanaoshiriki katika mjumuiko na matembezi ya Arbaeen mwaka huu na kuhakikisha usalama wao kikamilifu.
10:40 , 2025 Aug 08
Kongamano la Dunia la Qur’ani Kuwakutanisha Wanazuoni wa Kimataifa Katika MTHQA ya 65 Nchini Malaysia

Kongamano la Dunia la Qur’ani Kuwakutanisha Wanazuoni wa Kimataifa Katika MTHQA ya 65 Nchini Malaysia

IQNA – Kongamano la Dunia la Qur’ani 2025 linatarajiwa kufanyika leo katika Kituo cha Biashara cha Dunia, Kuala Lumpur (WTCKL), likiendana na Mashindano ya 65 ya Kimataifa ya Usomaji na Uhifadhi wa Qur’ani (MTHQA).
20:16 , 2025 Aug 07
Qari Kutoka Cameroon asoma Surah An-Nasr kwa ajili ya Kampeni ya Fath ya Qur’ani

Qari Kutoka Cameroon asoma Surah An-Nasr kwa ajili ya Kampeni ya Fath ya Qur’ani

IQNA – Ahmad Al-Daleel, msomaji na mhifadhi mahiri wa Qur’ani Tukufu kutoka Jamhuri ya Cameroon, ameungana na kampeni ya Fath ya Qur’ani kwa kuwasilisha video ya kisomo chake cha kuvutia cha Surah An-Nasr.
20:07 , 2025 Aug 07
Masharti ya Trump ya ‘Israel Kwanza’ kwa Misaada ya Maafa ni Shambulio Dhidi ya Uhuru wa Maoni na Haki za Binadamu – CAIR

Masharti ya Trump ya ‘Israel Kwanza’ kwa Misaada ya Maafa ni Shambulio Dhidi ya Uhuru wa Maoni na Haki za Binadamu – CAIR

IQNA – Shirika moja la utetezi wa haki limeshutumu agizo jipya kutoka kwa serikali ya Trump linalozuia utoaji wa misaada ya majanga kwa majimbo na miji ya Marekani inayopinga bidhaa na makampuni ya Israel yanayoshiriki katika uhalifu wa kivita, likilitaja kuwa si la kizalendo, linakiuka katiba, na ni shambulio dhidi ya haki za binadamu na uhuru wa kujieleza.
00:03 , 2025 Aug 07
Mshiriki wa Palestina Katika Mashindano ya MTHQA Asema Alihifadhi Qur’ani asimulia kuhusu wazazi wake

Mshiriki wa Palestina Katika Mashindano ya MTHQA Asema Alihifadhi Qur’ani asimulia kuhusu wazazi wake

IQNA – Jenan Nabil Mohammed Nofal ni hafidha wa Qur’ani Tukufu anayewakilisha Palestina katika Mashindano ya 65 ya Kimataifa ya Usomaji na Uhifadhi wa Qur’ani yanayofanyika nchini Malaysia.
23:56 , 2025 Aug 06
1