IQNA

Qari chipukizi wa Iran aelezea safari yake ya kutambuliwa kitaifa

Qari chipukizi wa Iran aelezea safari yake ya kutambuliwa kitaifa

IQNA – Amirhossein Landarani, kijana mchanga wa Iran anayesoma na kuhifadhi Qur'an, ambaye hivi karibuni alishinda nafasi ya kwanza katika kipengele cha usomaji wa mashindano ya 48 ya Kitaifa ya Qur'an nchini Iran, amesema mafanikio hayo ni miongoni mwa matukio yenye maana kubwa maishani mwake.
16:07 , 2025 Nov 05
Wanafunzi Waislamu Marekani wataka uchunguzi baada ya Qur'ani Tukufu kuvunjiwa heshima

Wanafunzi Waislamu Marekani wataka uchunguzi baada ya Qur'ani Tukufu kuvunjiwa heshima

IQNA – Chuo Kikuu cha Houston kilichopo jimbo la Texas, Marekani, kimetangaza kuwa kinachunguza tukio la kuvunjia heshima nakala ya Qur'an Tukufu wakati wa mkusanyiko wa wanafunzi Waislamu.
16:00 , 2025 Nov 05
Msikiti wa Kaburi la Sheikh Shahab ol-Din Ahari eneo la Ahar, Iran

Msikiti wa Kaburi la Sheikh Shahab ol-Din Ahari eneo la Ahar, Iran

IQNA – Msikiti wa kihistoria wa kaburi la Sheikh Shahab ol-Din Ahari, ulioko Ahar, kaskazini-magharibi mwa Iran, ni mfano bora wa sanaa na usanifu wa enzi ya wafalme wa silsila ya Safavi.
12:46 , 2025 Nov 05
Mamdani achaguliwa kwa kishindo kuwa meya wa kwanza Mwislamu wa New York

Mamdani achaguliwa kwa kishindo kuwa meya wa kwanza Mwislamu wa New York

IQNA-Zohran Mamdani mbunge Muislamu amechaguliwa kuwa Meya wa 111 wa jiji la New York, mtu wa kwanza mwenye asili ya Asia Kusini na wa kwanza aliyezaliwa barani Afrika kuongoza jiji kubwa zaidi nchini Marekani.
12:09 , 2025 Nov 05
Ushirikiano Kwa Msingi wa Qur'ani Kukabiliana na Ukabila

Ushirikiano Kwa Msingi wa Qur'ani Kukabiliana na Ukabila

IQNA-Katika Uislamu, kuna kanuni inayoitwa ta’āwun , yaani kushirikiana katika mambo ya kheri. Waislamu wanapaswa kusaidiana katika mema, lakini wajiepushe kushirikiana katika dhulma, uonevu, au mambo ya batili; hata kama anayehusika ni ndugu au rafiki wa karibu.
21:15 , 2025 Nov 04
Bendera Nyeusi Yainuliwa Juu ya Kaburi la Imam Ridha (AS) Kuashiria Maombolezo ya Bi Fatima Zahra (SA)

Bendera Nyeusi Yainuliwa Juu ya Kaburi la Imam Ridha (AS) Kuashiria Maombolezo ya Bi Fatima Zahra (SA)

IQNA – Katika mji wa Mashhad, bendera ya kijani iliyokuwa juu ya kuba ya kaburi tukufu la Imam Ridha (AS) imeondolewa na kubadilishwa na bendera nyeusi, kuashiria kuanza kumbukumbu ya shahada ya Bi Fatima Zahra (SA), binti mtukufu wa Mtume Muhammad (SAW).
20:41 , 2025 Nov 04
Maandamano ya Siku ya Kupambana na Ubeberu yafanyika kote Iran

Maandamano ya Siku ya Kupambana na Ubeberu yafanyika kote Iran

IQNA-Maandamano ya Siku ya Mwenyezi Mwenyezi Mungu yaani Aban 13 ambayo ni Siku ya Taifa ya Iran ya Kupambana na ubeberu na uistikbari yamefanyika hapa mjini Tehran na katika zaidi ya miji 900 kote humu nchini.
20:08 , 2025 Nov 04
Sherehe Kubwa Nchini Misri Kuwatukuza Wahifadhi wa Qur’ani wa Al-Azhar

Sherehe Kubwa Nchini Misri Kuwatukuza Wahifadhi wa Qur’ani wa Al-Azhar

IQNA – Sherehe maalum ya kuwatunuku wahifadhi wa Qur’ani Tukufu kutoka Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar imefanyika katika mkoa wa Giza nchini Misri.
19:33 , 2025 Nov 04
Taasisi ya Kimataifa ya Qur'ani kuundwa

Taasisi ya Kimataifa ya Qur'ani kuundwa

IQNA – Mkuu wa Shirika la Utamaduni na Mahusiano ya Kiislamu na Mahusiano ya Kimataifa amesema kuwa taasisi hiyo inapanga kuanzisha Taasisi ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu.
19:22 , 2025 Nov 04
Kiongozi wa Mapinduzi: Mzozo wa Iran na Marekani ni wa dhati

Kiongozi wa Mapinduzi: Mzozo wa Iran na Marekani ni wa dhati

IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, amesema kuwa mzozo uliopo kati ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Marekani ni wa “dhati na wa kweli”, na wala hautokani na kauli mbiu; bali unatokana na mgongano wa kimsingi wa maslahi.
07:06 , 2025 Nov 04
Mtaalamu wa Vyombo vya Habari: Dira ya Kiislamu Inahitaji Ufikishaji wa Kisasa

Mtaalamu wa Vyombo vya Habari: Dira ya Kiislamu Inahitaji Ufikishaji wa Kisasa

IQNA – Mwanazuoni wa vyombo vya habari kutoka Sudan, Mohammad al-Nour al-Zaki, amesema kuwa Uislamu una mtazamo wa kina na wa kuunganisha kuhusu mwanadamu na maisha, lakini ujumbe wake bado haujawakilishwa ipasavyo kimataifa kutokana na ukosefu wa mijadala ya kielimu na nyenzo za mawasiliano za kisasa.
17:33 , 2025 Nov 03
Waislamu Wapanda Miti 10,000 Jijini Nairobi Kuonesha Mshikamano na Palestina

Waislamu Wapanda Miti 10,000 Jijini Nairobi Kuonesha Mshikamano na Palestina

IQNA – Katika hatua ya mshikamano wa kimazingira na kisiasa, Waislamu wa Kenya walipanda takribani miti 10,000 katika Bustani ya Uhuru jijini Nairobi kwa heshima ya watu wa Palestina wanaokumbwa na dhulma.
17:27 , 2025 Nov 03
Kozi ya Mafunzo kwa Majaji wa Mashindano ya Qur’an Yafanyika Nchini Algeria

Kozi ya Mafunzo kwa Majaji wa Mashindano ya Qur’an Yafanyika Nchini Algeria

IQNA – Waziri wa Awqaf wa Algeria, Youssef Belmahdi, ametangaza kukamilika kwa kozi ya tatu ya mafunzo kwa majaji wa mashindano ya Qur’ani Tukufu nchini humo.
17:07 , 2025 Nov 03
Mkuu wa Al-Azhar: Machafuko na Kukosekana kwa Mantiki Duniani Yatokana na Kupuuzwa kwa Maadili ya Kidini

Mkuu wa Al-Azhar: Machafuko na Kukosekana kwa Mantiki Duniani Yatokana na Kupuuzwa kwa Maadili ya Kidini

IQNA – Imamu Mkuu wa Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar nchini Misri, Sheikh Ahmad al-Tayyib, amesema kuwa dunia inakumbwa na machafuko na ukosefu wa mantiki, hali ambayo chanzo chake ni kupuuzwa kwa maadili ya kidini na kiutu.
17:04 , 2025 Nov 03
Mhadhiri Mmisri Aelezea Maisha ya Kiislamu Nchini Japani

Mhadhiri Mmisri Aelezea Maisha ya Kiislamu Nchini Japani

IQNA – Kupitia ukurasa wake wa Facebook, mhadhiri wa chuo kikuu kutoka Misri, Sayed Sharara, amefungua dirisha la kipekee kuonesha maisha ya Waislamu nchini Japani.
17:00 , 2025 Nov 03
2