IQNA

Hizbullah yasisitiza kuwa haitajisalimisha

Hizbullah yasisitiza kuwa haitajisalimisha

IQNA – Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon, Sheikh Naim Qassem, amekataa wazo la kusalimisha au kuachana na silaha za harakati hiyo ya mapambano, akisema kuwa wanaotaka hilo wanapaswa kwanza kulaani na kutaka mwisho wa uvamizi wa Israeli dhidi ya Lebanon.
19:07 , 2025 Jul 05
Kuuawa Shahidi Siyo Mwisho Bali Ni Mwanzo wa Kuamsha Mataifa

Kuuawa Shahidi Siyo Mwisho Bali Ni Mwanzo wa Kuamsha Mataifa

IQNA – Utamaduni wa Ashura hauangalii kufa shahidi kama mwisho wa safari bali ni mwanzo wa kuamsho wa mataifa, amesema mwanazuoni kutoka Iran.
18:47 , 2025 Jul 05
Haram ya Imam Hussein (AS) imeandaa tukio la Tuwairaj siku ya Ashura

Haram ya Imam Hussein (AS) imeandaa tukio la Tuwairaj siku ya Ashura

IQNA – Wasimamizi wa Haram ya Imam Hussein (AS) huko Karbala, Iraq wametangaza kukamilika kwa maandalizi katika milango yote ya kuingilia kaburi hilo takatifu  kwa ajili ya kuwapokea waumini wanaoshiriki katika tukio la kuomboleza linalojulikana kama Tuwairaj.
18:29 , 2025 Jul 05
Askari 40 Waisraeli waangamizwa na kujeruhiwa katika mapigano Gaza

Askari 40 Waisraeli waangamizwa na kujeruhiwa katika mapigano Gaza

IQNA-Kamanda mwandamizi wa Sarayal-Quds, tawi la kijeshi la Harakati ya Jihadul-Islami ya Palestina ametangaza kuwa, askari wapatao 40 wa jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel wameuawa au kujeruhiwa katika operesheni ya kijeshi iliyoratibiwa na wapiganaji wa Muqawama mashariki ya Ghaza.
18:15 , 2025 Jul 05
Faida za Imani ya Raj’a katika mwamko wa Imam Hussein (AS)

Faida za Imani ya Raj’a katika mwamko wa Imam Hussein (AS)

IQNA – Imani juu ya Raj’a (kurejea duniani) katika mwamko wa Imam Hussein (AS) pamoja na masahaba wake waaminifu, hubeba baraka nyingi za kiroho na maadili.
09:48 , 2025 Jul 05
Msomi maarufu wa Qur'ani Iran, Seyyed Mohammad Baqer Hojjat afariki akiwa na umri wa miaka 92

Msomi maarufu wa Qur'ani Iran, Seyyed Mohammad Baqer Hojjat afariki akiwa na umri wa miaka 92

IQNA - Mwanachuoni mashuhuri wa Qur'ani na Hadithi wa Iran, Hujjatul slam Dk. Seyyed Mohammad Baqer Hojjat, anayejulikana sana kama "Baba wa Sayansi ya Qur'ani nchini Iran," amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 92, siku ya Alhamisi.
19:05 , 2025 Jul 04
Mifumo ya kupunguza joto  katika Haram ya Imam Hussein (AS) wakati wa Muharram

Mifumo ya kupunguza joto  katika Haram ya Imam Hussein (AS) wakati wa Muharram

IQNA – Idara ya kiufundi na uhandisi ya Haram Tukufu ya Imam Hussein (AS) huko Karbala, Iraq imetangaza kutekelezwa kwa mradi maalumu wa kiyoyozi unaolenga kuwawekea mazingira mazuri kwa ajili ya wafanyaziara ji katika siku za maombolezo ya Muharram.
18:53 , 2025 Jul 04
Mwanamke Muislamu ashambuliwa Canada, avuliwa Hijabu  katika hujuma ya huki

Mwanamke Muislamu ashambuliwa Canada, avuliwa Hijabu katika hujuma ya huki

IQNA – Mwanamke Muislamu alishambuliwa kwa ukatili mahali pake pa kazi huko Oshawa, Ontario, Canada katika tukio ambalo viongozi wa jamii wanaitaka polisi kulichunguza kama jinai ya chuki.
18:30 , 2025 Jul 04
Ufaransa yashuhudia kuongezeka kwa Matukio ya Chuki Dhidi ya Waislamu mwaka 2025

Ufaransa yashuhudia kuongezeka kwa Matukio ya Chuki Dhidi ya Waislamu mwaka 2025

IQNA – Mamlaka za Ufaransa zimeripoti ongezeko la asilimia 75 la matukio ya chuki dhidi ya Waislamu katika miezi mitano ya kwanza ya mwaka 2025, huku mashambulizi dhidi ya watu binafsi yakiongezeka mara tatu ikilinganishwa na kipindi kama hicho mwaka jana.
18:21 , 2025 Jul 04
Ansarullah ya Yemen: Wazayuni wanaendeleza ukatili wao huko Gaza bila huruma

Ansarullah ya Yemen: Wazayuni wanaendeleza ukatili wao huko Gaza bila huruma

IQNA – Kiongozi wa harakati ya mapambano ya Kiislamu ya Ansarullah nchini Yemen amelaani kuendelea kwa jinai za utawala wa Kizayuni dhidi ya raia wasio na hatia wa Palestina, huku jumuiya ya kimataifa ikikaa kimya bila kuchukua hatua yoyote.
18:13 , 2025 Jul 04
Wahifadhi wawili wa Qur’ani kuwakilisha Iran katika Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Saudia

Wahifadhi wawili wa Qur’ani kuwakilisha Iran katika Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Saudia

IQNA – Iran imetangaza majina ya wawakilishi wake katika mashindano ya kimataifa ya Qur’ani yatakayoandaliwa nchini Saudi Arabia.
22:35 , 2025 Jul 03
Sheikh Issa Qassim: Vitisho dhidi ya Ayatullah Khamenei ni sawa na kuuvunjia heshima Umma wa Kiislamu

Sheikh Issa Qassim: Vitisho dhidi ya Ayatullah Khamenei ni sawa na kuuvunjia heshima Umma wa Kiislamu

IQNA: Kiongozi wa Waislamu wa Madhehebu ya Shia wa nchini Bahrain amelaani vikali kitendo cha Rais Donald Trump wa Marekani cha kumvunjia heshima na kumtishia Ayatullahil udhma Sayyid Ali Khamenei Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran.
22:16 , 2025 Jul 03
Kiongozi wa Hizbullah: Utawala wa Israel umekiuka mapoatano ya usitihaji vita  zaidi ya mara 3,700.

Kiongozi wa Hizbullah: Utawala wa Israel umekiuka mapoatano ya usitihaji vita zaidi ya mara 3,700.

IQNA-Sheikh Naim Qassem, kiongozi wa harakati ya muqawama ya Lebanon Hizbullah ameeleza kuwa Israel si tu kuwa inaikalia kwa mabavu Palestina bali ni tishio la kimkakati kwa Lebanon, Misri, Syria, Jordan, na ni tishio pia kwa amani na usalama wa kanda hii na dunia nzima kwa ujumla.
22:12 , 2025 Jul 03
Yale Qur’ani inasema kuhusu dhulma aliyoipata Imam Hussein (AS)

Yale Qur’ani inasema kuhusu dhulma aliyoipata Imam Hussein (AS)

IQNA – Dhulma aliyoipata Imam Hussein (AS) ni ya wazi na ya kina kiasi kwamba inaweza kuchukuliwa kuwa ni taswira halisi ya baadhi ya aya tukufu za Qur’ani.
22:02 , 2025 Jul 03
Al-Ghamama; Msikiti wa Mawingu na Mvua

Al-Ghamama; Msikiti wa Mawingu na Mvua

IQNA – Msikiti wa Al-Ghamama ni msikiti uliopo Madina ambapo Mtume Mtukufu (SAW) aliomba dua ya mvua. Mtume Muhammad (SAW) aliswali swala ya mvua mahali hapa wakati wa ukame. Kabla ya kumaliza swala lake mawingu yalijitokeza na mvua ikaanza kunyesha. Kwa hivyo, mahali hapa pakaitwa Ghamama, yaani “mawingu.” Mtume Mwenyezi Mungu, Muhammad (SAW) pia aliongoza swala mbili za Eid al-Fitr na Eid al-Adha katika msikiti huu.
16:45 , 2025 Jul 02
1