iqna

IQNA

patel
Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imetoa taarifa ya kulaani uamuzi uliojaa chuki wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Uingereza wa kuiweka harakati hiyo katika orodha ya 'makundi ya kigaidi.'
Habari ID: 3474577    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/19