Mahakama ya Kilele ya Uturuki imeafiki kufuta uamuzi wa serikali wa tangu mwaka 1934 ambao ulilipatia jumba la Hagia Sophia huko Istanbul hadhi ya jumba la makumbusho.
Huku wakitamka nara ya Allahu Akbar, waliokusanyika hapo walisikia kwa furaha Adhana katika Msikiti wa Hagia Sophia.