iqna

IQNA

Halima Aden
Halima Aden ni mwanamke Mwislamu Msomali-Mmaarekani ambaye huvaa Hijabu na mwezi Julai mwaka huu aliteuliwa kuwa balozi wa UNICEF. Aidha anahusika na kampeni ya matangazo ya Shirika la UNICEF.
Habari ID: 3471766    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/12/10