iqna

IQNA

tehran
Utamaduni
TEHRAN (IQNA) – Banda la Oman katika Maonyesho ya 34 ya Kimataifa ya Vitabu ya Tehran limeweka vitabu vya maonyesho katika nyanja tofauti, afisa msimamizi wa banda hilo alisema.
Habari ID: 3477014    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/18

Msanii wa Afghanistan
TEHRAN (IQNA) – Msanii wa Afghanistan, Hakima Qanbari amesema lugha ya sanaa huwasilisha ujumbe bila maneno, na kuongeza kuwa kazi za sanaa za Qur’ani zinawavutia wasio Waislamu.
Habari ID: 3476860    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/13

Maonyesho ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Kitengo cha Kimataifa cha Maonyesho ya 30 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Tehran ktafunguliwa Jumatatu, Aprili 3, 2023.
Habari ID: 3476800    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/02

Maonyesho ya Qur'ani ya Tehran
TEHRAN (IQNA)- Maonyesho ya 30 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Tehran yamefunguliwa rasmi Jumamosi na Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Sayyid Ebrahim Raisi.
Habari ID: 3476799    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/02

Maonyesho ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Tehran
TEHRAN (IQNA) - Mkuu Duru ya 30 ya Maonyesho ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Tehran amesema mawaziri wa wakfu na utamaduni wa nchi saba watatembelea tukio hilo la Qur'ani.
Habari ID: 3476703    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/14

Maonyesho ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Ukumbi wa Sala (Musalla) wa Imam Khomeini (Mwenyezi Mungu Amrehemu) utakuwa mwenyeji wa toleo la 30 la Maonyesho ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Tehran, kama ilivyokuwa miaka ya nyuma.
Habari ID: 3476661    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/05

Maonyesho ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Mohammad Mehdi Aziz-Zadeh ameteuliwa kuwa mkuu wa sekretarieti ya kudumu ya Maonyesho ya Kimataifa ya Qur'ani ya Iran.
Habari ID: 3476505    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/02

Shahidi Soleimani
TEHRAN (IQNA)-Kongamano la Kwanza wa Kimataifa wa Fikra za Shahidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani limemalizika hapa mjini Tehran.
Habari ID: 3476363    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/06

Maonyesho ya Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) - Kikao cha baraza la kutunga sera za Maonyesho ya 30 ya Kimataifa ya Qur'ani Tehran kilifanya mkutano mapema wiki hii, afisa mmoja alisema.
Habari ID: 3476356    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/04

Maonyesho ya Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) - Sekretarieti ya Maonyesho ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Tehran imesema iko tayari kupokea mawazo na mapendekezo mapya kwa ajili ya kuandaa vyema tukio la kimataifa.
Habari ID: 3476231    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/11

Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Sala ya Ijumaa ya leo mjini Tehran amesema mustakabali wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran hii leo umeng'ara zaidi kuliko wakati wowote ule.
Habari ID: 3475967    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/21

Matembezi ya Arbaeen
TEHRAN (IQNA)- Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameitaja Arbaeen (Arubaini) ya Imam Hussein AS kuwa ni muujiza wa Mwenyezi Mungu na moja ya madhihirisho na vielelezo vya umoja wa Waislamu na akasisitiza kuwa: Ashura ingali hai na itaendelea kuwa hai.
Habari ID: 3475798    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/17

Waislamu wa Madhehebu ya Shia
TEHRAN (IQNA) – Mkutano wa Saba wa Baraza Kuu la Jumuiya ya Kimataifa ya Ahl-ul-Bayt AS ulimalizika hapa katika mji mkuu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran siku ya Jumamosi.
Habari ID: 3475731    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/04

Hotuba ya Sala ya Idul Fitr Tehran
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Sala ya Idul Fitr mjini Tehran amesema katika hotuba zake kwenye Swala ya Eidul-Fitri leo hapa mjini Tehran kwamba, maandamano ya Sikuu ya Kimataifa ya Quds yameonyesha kuwa, malengo matukufu ya taifa madhulumu la Palestina yangali hai.
Habari ID: 3475200    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/03

TEHRAN (IQNA) – Afisa wa Wizara ya Utamaduni ya Iran anasema malengo ya Maonyesho ya 29 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Tehran yamefikiwa kwa usaidizi wa watu na mashirika.
Habari ID: 3475192    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/01

TEHRAN (IQNA)- Maonyesho ya 29 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Tehran yamefunguliwa Jumamosi jioni katika sherehe iliyohudhuriwa na maafisa wa ngazi za juu serikalini.
Habari ID: 3475133    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/17

TEHRAN (IQNA)- Maonyesho ya Kimataifa ya Qur'ani ya Iran ni makubwa zaidi ya aina yake katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Habari ID: 3475119    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/12

TEHRAN (IQNA)- Duru ya 29 ya Maonyesho ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Tehran imepenga kufanyika katika Ukumbi wa Sala (Musalla) wa Imam Khomeini (RA).
Habari ID: 3475036    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/13

Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Sala ya Ijumaa ya leo mjini Tehran amesema, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni mingoni mwa nchi chache zenye nguvu za kiulinzi za kudhamini amani na usalama wa eneo na wa Ulimwengu wa Kiislamu.
Habari ID: 3474942    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/18

TEHRAN (IQNA)- Zahra Khalili, msichana mwenye ulemavu wa macho katika mji mkuu wa Iran, Tehran ni miongoni mwa wawakilishi wanne wa Iran katika mashindano yajayo ya Qur’ani ya kimataifa ya wanafunzi Waislamu.
Habari ID: 3474623    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/30