IQNA

Jumba la Makumbusho la Posta na Mawasiliano

Wairani walikuwa taifa la kwanza ambalo takribani miaka 3,000 katika zama za utawala wa silsila ya Wakhamaneshi walianzisha taasisi yenye nidhamu maalumu ya posta ambaye wakati huo iliyojulikana kama 'Chapar'.

Wairani walibuni taasisi hii ya kiidara katika zama za kale mno na njia hiyo ilitumika katika mawasiliano yote ya ardhi pana ya Iran wakati huo.

Kwa hakika, katika zama hiz za kale, 'Idara ya Chapar' ilikuwa idara mashuhuri na muhimu zaidi katika ufalame wa Wakhamaneshi. Katika zama hizo waendesha farasi walikuwa wakitumia farasi maalumu waliokuwa na kasi kubwa ambapo walikukuwa wakienda masafa marefu ili kuhakikisha kuwa kuna mawasiliano ya daima baina ya makao makuu ya ufalme na majimbo yote ya ufalme huo.

Katika zama hizo, taarifa na ripoti zilikuwa zikifika kila eneo la ufalme haraka sana. Mfumo huo wa posta ulibadilika katika vipindi mbali mbali vya historia na hivi sasa mfumo huo unajulikana kama Shirika la Posta la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

Poçt və telekommunikasiya muzeyi

 

Poçt və telekommunikasiya muzeyi

 

Poçt və telekommunikasiya muzeyi

 

Poçt və telekommunikasiya muzeyi

 

Poçt və telekommunikasiya muzeyi

 

Poçt və telekommunikasiya muzeyi

 

Poçt və telekommunikasiya muzeyi

 

Poçt və telekommunikasiya muzeyi

 

Poçt və telekommunikasiya muzeyi

 

Poçt və telekommunikasiya muzeyi

 

Poçt və telekommunikasiya muzeyi

 

Poçt və telekommunikasiya muzeyi

 

Poçt və telekommunikasiya muzeyi

 

Poçt və telekommunikasiya muzeyi

 

Poçt və telekommunikasiya muzeyi